Jifunze maarifa mbalimbali ya kiroho na kimwili,tambua ulimwengu wa kiroho hasi na chanya,elimu zilizofichwa,zijue dawa na nguvu za asili za miujiza na utendaji wake. Call us +255 675 841177 email monicajonathan2000@gmail.com

Total Pageviews

Search

Monday, October 4, 2021

Kumfunga mpenzi wako akutii na akupe kila unachotaka

Mahitaji; Chumvi ya mawe,ndele orijino Sio ya maduka ya dawa asili.karatasi nyeupe,peni nyekundu,kitambaa cheupe,udi mmoja. Jinsi ya kufanya. 1. Chora duara kwa kuzuunguusha chumvi kisha kipindi unachora taja jina la mapenzi wako kwa kumuita Mara tatu.kisha Sema " NAKUWEKA KWENYE DUARA HILI UNIEPENDE MIMI TU NA USIMPENDE WALA USIENDE KWA MWANAMKE MWINGINE. WEWE CHUMVI NI KIUNGO KTK MBOGA,BASI NA MM NIWE KIUNGO KWENYE MOYO WAKO WEWE FULAN BIN FULAN. ukisha maliza kuchora andika jina la muhusika Mara tatu ,kisha nyunyizia ndele juu ya karatasi hiyo huku ukisema. KAMA NINA JINA LAKO,BASI NINA MDOMO WAKO.USIMTONGOZE MWINGINE ZAIDI YANGU. KAMA NINA JINA LAKO BASI NINA MACHO YAKO.YASIMUONE MWANAMKE MWINGINE MREMBO BALI YANIONE MM TU. KAMA NINA JINA LAKO BASI NINA MOYO WAKO,USIMPENDE MTU MWINGINE KIMAPENZI BALI UNIPENDE MM TU. KAMA NINA JINA LAKO BASI NINA MAAMUZI YAKO,USIAMUE CHOCHOTE BILA KUNISHIRIKISHA NA NIKIKUOMBA CHOCHOTE KAMA UNACHO BASI USIWE NA JEURI YA KUKATAA.UNIPE. KAMA NINA JINA LAKO BASI NINA MIGUU YAKO,ISIENDE KWA MWINGINE YEYOTE KIMAPENZI BALI INIFUATE MM TU Ukimaliza chukua vitu vyote viweke kwenye kitambaa kisha vifunge fundo na uende ukafukie chini ya mti mkubwa. Kipindi unafukia Sema,hapa kuna kimvuri,na binadamu yeyote anapenda kimvuri basi nakuweka hapa ili usihangaike kwenda kwa mwingine YEYOTE utulie kwangu tu kwani mm pia ni kivuri. Usifanye dawa hii kama huyo unayemfanyia hujampenda kwa dhati kwa sababu atakuganda na atakuonea wivu sana.