Kwanza kabisa fanya dawa hii ukiwa umehakikisha kuwa umeibiwa kweli
endapo utaibiwa kitu chako na unahitaji kukipata basi fanya haya yafuatayo
1: chukua changarawe za barabarani zilizo letwa na maji/Mvua
2:chuma majani saba ya limao
3:chukua kipande kidogo cha kitambaa chekundu
4; chukua kinyonga 》Baada ya hapo viweke pamoja katika kitambaa hicho chekundu 》
vifunge vizuri kisha chukua moto vifukishe joto kali kwa muda wa robo saa huku ukinuia/ukiomba utakayo ili yamfike mwizi wako 》
ukimaliza hapo nenda kafunge juu ya mti mkubwa kwa siku 7 Hakika mtu wako atakuja kabla ya siku hizo》
Dawa hii ni mujaarabu sana haija wahi kushindwa
Muhimu
MTUHUMIWA WAKO AKIFIKA NENDA KAVIFUNGUE VILE VITU ULIVYO VIFUNGA KWENYE MTI ILI KUMUONDOLEA MATESO
