Andaa vitu vifuatavyo kabla ya kuanza kazi yako
1.mishumaa mekundu 22.mishumaa meusi 23.kisu kikali sana4.damu ya mbuzi glasi25.picha ya lusifa6.sauti7.sehemu yenye utulivu wa hali ya
Kwanza inatakiwa ukae chini na uvute taswira ya hiyo picha ya Lucifer katika kichwa chako.
weka picha hiyo chini
chukua kisu halafu choma kwenye hiyo picha halafu sema"I invoke thee Lucifer bright morning star you are to show me power and wisdom and help me gain my ever lasting desires."
Halafu washa mishumaa na useme tena;...
"I invoke thee Lucifer,this is my oh divine purpose Lucifer to have communication with you, do my bidding Lucifer with no strings attached. I ask for the powerful goddess tyche to aid me in getting you Lucifer to obey me."
baada ya hapo unatakiwa Kunywa glass moja ya damu ya mbuzi halafu glass 1 iache kama sadaka.halafu subiri kidogo atakuja na utaona glass imenywewa hapo ujue ameshafika na anza kufanya nae maagano.kwa kumsikiliza kumjibu na kumueleza shida yako