Jifunze maarifa mbalimbali ya kiroho na kimwili,tambua ulimwengu wa kiroho hasi na chanya,elimu zilizofichwa,zijue dawa na nguvu za asili za miujiza na utendaji wake. Call us +255 675 841177 email monicajonathan2000@gmail.com

Total Pageviews

Search

Monday, September 6, 2021

chuma ulete na jinsi ya kumdhibiti kwenye biashara yako

 


Chuma ulete ni miongoni mwa majini wanaoandaliwa na binadamu ili kuwatumikisha katika kazi nzima ya kuiba vitu kwa watu na kumletea mhusika wake kwa mkataba maalum waliokubaliana

unaweza ukawa unafanya biashara lkn kila ukipiga hesabu unakuta kupungukiwa na kiasi chja pesa katika mazingira ya kutatanisha pia hata vitu vya namna nyingne tofauti na pesa

Zipo njia za kudhibiti chuma ulete, si rahisi kuzielezea zote kwa wakati mmoja, leo nitaelezea njia hii ifuatayo ;


Chinja kuku mweupe halafu chukua firigisi.


 Pasua hiyo firigisi halafu weka ndani yake shilingi elfu moja ya noti .


 Baada ya hapo nenda kaichimbie chini ya ardhi kwa muda wa siku sita.

 Siku ya saba nenda kafukue hiyo firigisi, chukua shilingi elfu moja yako na uiweke kwenye droo ya biashara yako na ututukanga.


Basi hakuna mchawi yoyote Yule ataweza kuja kuiba hela kichawi kwenye biashara yako au kumtuma jini chuma ulete.