Mwenye Kuvaa Kwenye Pete Na Akaingia Kwenye Uwanja Wa Vita Mtu Huyo Hatodhurika Hata Na Ncha Ya Panga Yani Mwenye Kuvaa Hatoweza Kukatwa Na Upanga Wala Risasi.
Pia Mwenye Kuivaa Pete Yenye Kito Cha ( Jade ) Mtu Huyo Akaingia Kwenye Pango Lenye Majini Majini wowote Watamuogopa Na watakimbia ovyo
Pia Mwenye Kutaka Aone Ufalme Wa Majini Basi Akiweke Kito Hiki Chini Ya Mto Ataona Ufalme Wote Wa Majini na atona siri nyingi za ulimwengu
Kama Ukiivaa Pete Yenye kito cha Jade Mtu Huyo Atakuwa Na Mahaba Na Kila Mtu hakuna atakayemchukia,akiingia sehemu hata kama kuna wakubwa watu wote hunyamzishwa,atakuwa na mamlaka n.k
pia pete yenye kito cha jade husaidia kudumisha mahusiano na kukufanya uwe bahati sana kwa kila jambo unaloliendea

